Rais wa Marekani Donald Trump ametoa onyo kali kwa kundi la Hamas akitishia kwamba kutakuwa na uharibifu mkubwa zaidi kwenye Ukanda wa Gaza+++Shirika la haki za binaadamu la Amnesty International limetowa wito wa kuandikwa mkataba wa kimataifa ambao utaratibu utengenezaji wa vifaa vya umeme vinavyotumika kwa ajili ya utesaji.