Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanashiriki katika mkutano wa dharura mjini Brussels+++Miaka 30 tangu viongozi wa dunia walipopitisha mpango wa kihistoria wa kufanikisha usawa wa kijinsia, ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa inaonyesha kuwa haki za wanawake na wasichana ziko katika hatari kubwa.