Kundi la waasi wa M23 linalosaidiwa na vikosi vya Rwanda limeanzisha mapigano mapya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo+++Marekani imetangaza kufuta hatua ya kusimamisha misaada iliyowekwa na Rais Donald Trump ili kusaidia ujumbe wa kimataifa wa usalama kwa Haiti.