Pendekezo la Rais Donald Trump kwamba Marekani itachukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza na kuwahamisha watu wake limeendelea kupingwa vikali+++Waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Dkt Thérèse Kayikwamba Wagner, ameitaka klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani kusitisha mkataba na Rwanda.