Miongoni mwa utakayoyasikia ni pamoja na Rais Macron kusema mataifa 26 yako tayari kupeleka jeshi la usalama Ukraine baada ya Vita, Mlipuko mpya wa Ebola nchini DRC wauwa watu 15, Israel yalaani matamshi ya afisa wa Umoja wa Ulaya kuhusu 'mauaji ya halaiki' Gaza, Mapigano nchini Ghana yauwa watu 31, yawahamisha 48,000 na Mike Tyson na Floyd Mayweather kukutana ulingoni 2026