Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kwamba vikosi vyovyote vya kigeni vitakavyopelekwa Ukraine kabla ya makubaliano ya amani vitachukuliwa kama adui+++Shirika la Afya duniani WHO limeonya kuwa idadi ya watu walioambukizwa ugonjwa wa Ebola huenda ikaongezeka kufuatia mripuko wa ugonjwa huo hatari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.