Israel imeshambulia leo jengo moja la ghorofa huku jeshi lake likizidisha mashambulizi katika maandalizi ya kulichukua Jiji la Gaza+++Wapiganaji wa kundi la waasi la M23 wanaoungwa mkono na Rwanda pamoja na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanadaiwa kutenda maovu makubwa dhidi ya raia Mashiriki mwa Kongo.