Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mataifa 26 washirika wa Ukraine yameahidi kupeleka wanajeshi kama “jeshi la kuhakikisha usalama” kwa taifa hilo+++Baada ya miezi kadhaa ya kuwa katika kambi za wakimbizi wa ndani karibu na Goma na Minova, mamia ya familia sasa wanarudi taratibu kwenye vijiji vyao.