Mashirika ya Umoja wa Mataifa yametahadharisha kuwa maelfu ya familia zilizokwama katika mji wa El-Fasher, Darfur Magharibi nchini Sudan, ziko hatarini kukumbwa na njaa kali+++Mkutano wa wakuu wa taasisi za kuzuia na kupambana na rushwa katika nchi za SADC umebainisha kuwa nchi hizo bado zinakabiliwa tishio la usalama.