Taasisi ya GHF inayoendesha utoaji wa misaada katika Ukanda wa Gaza imefunga vituo vyake+++Zaidi ya mahujaji milioni moja na nusu wamekusanyika hivi leo kwenye Milima na viwanja vya Arafa nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kukamilisha ibada ya Hijja+++Rais wa Marekani, Donald Trump, amesaini marufuku mpya ya usafiri inayolenga mataifa 12