Viongozi wa mataifa ya Kiarabu waliokutana mjini Cairo wameidhinisha pendekezo linalopinga lile la Rais wa Marekani Donald Trump la kuwahamisha Wapalestina wa Gaza na kuugeuza ukanda huo kuwa eneo la kitalii// Wakristo kote duniani leo wameanza kipindi cha mfungo wa siku 40 kijulikanacho kama “Kwaresma” ambapo wanatafakari mateso na kifo cha Yesu Kristo Msalabani.