Wanajeshi wa Sudan Kusini wamewakamata waziri wa mafuta na naibu mkuu wa majeshi, wote wakiwa washirika wa Makamu wa Rais Riek Machar// Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz, amezungumza na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky na kwa pamoja wamekubaliana kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump ana jukumu muhimu la kutekeleza katika mazungumzo yoyote ya amani kati ya Ukraine na Urusi.