Rais wa Marekani Donald Trump amelihutubia Bunge la Marekani// Wizara ya usalama wa ndani nchini Kenya imeweka marufuku ya kutoka nje katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma kufuatia hali tete inayoshuhudiwa kambini humo//Wakaazi wa mji wa Kampala wameingiwa na mashaka kufuatia kushamiri kwa kunguni katika magari ya abiria maarufu kama matatu au teksi.