Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Marekani yasitisha kuchangia katika mfuko wa Umoja wa Mataifa unaosimamia shughuli za kikosi cha kiulinda amani Haiti / Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier anajiandaa kukutana na viongozi wawili muhimu katika Mashariki ya kati hii leo Jumatano