Viongozi wa mataifa ya Magharibi ambayo ni washirika wa Ukraine katika mzozo wake na Urusi, wanakutana leo Alhamisi mjini Paris+++Serikali ya Kenya imechukua uamuzi wa kusitisha zoezi ya kufukua miili katika kaunti ya Kilifi ili kutoa nafasi kwa wataalam wa vijinasaba kushughulikia miili 34 iliyopatikana.