Viongozi wa Ulaya wamezungumza na rais wa Marekani Donald Trump baada ya mkutano wao wa kilele na rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kuhusu dhamana za usalama kwa Kiev+++Wizara ya usalama wa ndani ya Kenya imekanusha madai kwamba vikosi vya JubaLand vimeingia nchini Kenya kutoka Somalia.