Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kundi la Hamas Hamas, limesema liko "tayari kwa makubaliano ya kina" na Israel kuhusu kusitisha vita vya Gaza / Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imethibitisha kuwa wanawake watatu kutoka vyama tofauti vya siasa wamechukua fomu za uteuzi kwa kiti cha urais wa Zanzibar