Mapambano ya kisiasa yanaendelea katika majimbo mbalimbali nchini Tanzania, wakati wenye nia ya kuwania ubunge na udiwani wakipita katika kila kata ndani ya majimbo kuomba ridhaa// michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani - CHAN 2024 inayoendelea kurindima Afrika Mashariki.