Umoja wa Mataifa umesema mauaji ya wahudumu wa afya huko Gaza yanazusha wasiwasi wa "uhalifu wa kivita". Nchi wanachama wa Jumuiya ya kujihami ya NATO waahidi kuongeza matumizi yao ya ulinzi. Upinzani nchini Burundi watahadharisha kuwa uhaba wa mafuta utaathiri uchaguzi ujao wa Bunge.