Watia nia wa nafasi za ubunge ndani ya CHADEMA, nchini Tanzania wameandika waraka maalum kwa chama chao wakishauri kuhusu ajenda ya bila mabadiliko, hakuna uchaguzi, wakisisitiza, chama kishiriki uchaguzi mkuu ujao+++Rais wa Uganda Yoweri Museveni alifika nchi jirani ya Sudan Kusini jana Alhamisi ikiwa ni ziara yake ya kwanza tangu yalipoanza machafuko ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo