Misri imependekeza mpango wa kuujenga upya Ukanda wa Gaza utakaogharimu dola za Kimarekani bilioni 53 kwa kipindi cha miaka mitano+++Maelfu ya wakimbizi wa ndani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, waliokuwa wamepata hifadhi huko Goma wanalazimika kurejea makwao, mara nyingi katika hali ngumu.