Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa China Xi Jinping ameonya kuwa dunia inakabiliwa na uamuzi wa kuchagua amani au vita / Utafiti uliofanywa kwenye mataifa mbalimbali umebainisha kuwa binadamu wanaandamwa na jinamizi la kutumia simu za mkononi za kisasa kila wakati