Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Takriban wanajeshi wanne na wanamgambo 10 wameuawa kufuatia mapigano mapya yaliyozuka Sudan Kusini / Wilaya ya Monduli iliyopo mkoani Arusha kaskazini mwa Tanzania, inakumbwa na tatizo la ukame kutokana na kutopata mvua za kutosha