Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Jumuiya ya Kimataifa imetolewa mwito kuishinikiza Tanzania kuanzisha uchunguzi dhidi ya maafisa waliotuhumiwa kuwatesa / Mgombea wa chama cha Democratic nchini Korea Kusini Lee Jae-myung anatabiriwa kushinda katika uchaguzi wa rais nchini humo