Tangazo la Rais wa Marekani, Donald Trump, la ushuru mpya kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka mataifa mbalimbali limezua taharuki duniani+++Mashambulizi katika eneo la mashariki ya kati yamechukua sura mpya baada ya watu wasiopungua 50 kuuawa usiku wa kuamkia leo kwenye ukanda wa Gaza.