Viongozi wa Ulaya waliokutana jana katika mkutano wao wa kilele huko Uingereza, wamesema wataendelea kuiunga mkono Ukraine+++Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limekanusha juu ya kukamatwa kwa wapiganaji 20 wanaohusishwa na mauaji ya kimbari ya Rwanda kwenye ardhi yake.