Wapalestina wawili wameuwawa kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa Israel katika eneo la Rafah+++Nchini Guinea Bissau,wasiwasi wa kisiasa unaongezeka kufuatia mvutano wa kisiasa +++Tangu makundi ya AFC/M23 yalipouteka mji wa Goma, mfumo wa elimu nchini DRC umeyumba.