Rwanda jana imeikaribisha miito ya mkutano wa kilele utakaozileta pamoja jumuiya mbili za kikanda kujadili mzozo unaoendelea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo+++Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, leo anatarajiwa kuanza mazungumzo ya awamu ya pili ya makubaliano ya kusitisha mapigano na kundi la Hamas.