Afrika itaendelea kukabiliwa na changamoto za demokrasia, umasikini, madeni, na migogoro ya silaha mwaka 2025, licha ya ukuaji mdogo wa uchumi+++Shambulio la umwagaji damu kwenye soko la Krismasi katika mji wa Magdeburg tarehe 20 Desemba, na mjadala mkali wa kisiasa uliofuatia tukio hilo, ni ishara kwamba serikali ijayo ya Ujerumani italipa kipaumbele suala la usalama