Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa China na mwenzake wa Urusi wameikosoa mitazamo ya nchi za Magharibi wakati wa mkutano wa kilele wa Jumuiya ya SCO / Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz ameamua kuwa msimu unaofuata wa mapukutiko ndiyo wakati sahihi wa kuzishughulikia changamoto za ndani zinazohitaji suluhisho la haraka