Miongoni mwa taarifa zetu mchana huu : Ujerumani yasema hali ya Gaza haivumiliki ++++Trump aamrisha kupelekwa nyambizi za nyuklia baada ya malumbano na rais wa zamani wa Urusi+++++Ukraine yailenga miundombinu ya Urusi katika wimbi jipya la mashambulizi ya droni++++Wachimba migodi haramu 1000 wakamatwa nchini Afrika Kusini.