Miongoni mwa taarifa tulizonazo ni pamoja na : Rwanda na Kongo kuanzisha ushirikiano wa kiuchumi+++++Ufunguzi wa michuano ya Afrika (CHAN) wafanyika leo Jumamosi+++++Mjumbe wa Marekani akutana na familia za mateka wanaoshikiliwa Gaza++++India yasema itaendelea kununua mafuta ya Urusi++++Trump amfukuza kazi mkuu wa idara ya takwimu za ajira.