Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Baada ya zaidi ya miongo sita ya mchango mkubwa duniani, Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani USAID limefungwa rasmi na utawala wa Rais Donald Trump / Joto la Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani limeanza kupanda nchini Tanzania