Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Zaidi ya mahujaji milioni moja wa Kiislamu wamefurika katika mjini Makka kwa ibada ya Hijja ya kila mwaka / Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito wa uchunguzi huru wa vifo vya Wapalestina zaidi ya 30 vilivyotokea karibu na kituo cha kugawa misaada